AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na MCL Digital, kaka wa marehemu, Moi Kiyeyeu amesema baada ya kikao cha familia, wamekubaliana kuwa Akwilina atazikwa mkoani humo baada ya kuagwa Februari 22, 2018 katika viwanja vya NIT, Mabibo jijini Dar es Salaam.
Akwilina aliyefariki dunia Februari 16, 2018 baada ya kupigwa risasi akiwa kwenye daladala wakati polisi wakiwatawanya waandamanaji ambao ni wafuasi wa Chadema
“Tutamuaga ndugu yetu siku ya Alhamisi katika viwanja vya chuo cha NIT pale Mabibo na siku hiyo hiyo tutaanza safari kuelekea Rombo-Mashati Olele mkoani Kilimanjaro na mazishi tutafanya Ijumaa,” amesema Kiyeyeu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK