AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo Shilole amesema bado hajakabidhiwa gari hilo ila Harmonize kamdhibitishia kuwa ameshalinunua na kilichobaki ni makabidhiano mbele ya vyombo vya habari kama alivyokuwa akitoa ahadi hiyo.
“Ni kweli ameshaninulia tayari tunangoja tuweze kukabidhiana ile watu waweza kujua alichokihaidi, maana ukiwa umehaidi mbele ya kamera nitakuganda tu kwa sababu ahadi ni deni na sio dhambi,” Shilole ameiambia Clouds Fm.
“Ameniambia gari lipo tayari bado kukabidhi, mambo ya kuambiana vitu kwenye vyombo vya habari na kukabidhiana na ni huko huko, kwa sababu watu wameshaanza Shishi umepigwa sound hamna lolote nataka niwadhibitishe kuwa Harmonize hashindwi,” amesema.
Harmonize aliahidi gari lenye dhamani ya Tsh. Milioni 9 ili liwasaidie wawili hao katika shughuli zao za biashara. Shilole na Uchebe walifunga ndoa December 6 mwaka jana, 2016 na harusi yao ilifanyika January 14 mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK