Iyobo Hawezi Kuzishangaa Picha Zangu za Utupu- Aunt Ezekiel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Iyobo Hawezi Kuzishangaa Picha Zangu za Utupu- Aunt Ezekiel
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel, amesema kuwa Moses Iyobo ambaye ni mzazi mwenziye hashtushwi hata kidogo na picha anazopiga akiwa amevaa mashuka na za nusu utupu kwa sababu anajua ni kwa ajili ya kibiashara tu.

Akizungumza na Mikito Nusunusu Aunt, alisema kuwa mara nyingi hata picha ambazo anapiga na Iyobo anakuwa pembeni kwa maana ni za matangazo ya sabuni yake hivyo hawezi kuvaa nguo ya kawaida anapokuwa bafuni zaidi ya taulo kuonyesha uhalisia.

“Iyobo hawezi hata siku moja akazishangaa picha hizo kwani ni za matangazo nazoziweka mtandaoni, maana anajua kabisa ni za kazi na si za kitu kingine chochote kile kwa maana hata yeye anakuwepo na anatoa mawazo mbalimbali katika picha hizo zipigwaje,” alisema Aunt.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad