AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo inakuja baada ya mazungumzo yaliyofanywa na chama tawala cha nchini, ANC kwa muda.
Taarifa zinaeleza kuwa ANC walituma watu wawili nyumbani kwa Rais Zuma, Pretoria kumfikishia ujumbe wa chama kwamba anatakiwa ajiuzulu mwenyewe au chama kimng’oe madarakani.
Hatua hii ya ANC inaonekana ndio njia rahisi zaidi ya chama hicho kumng’oa Rais Zuma madarakani badala ya kusubiri utaratibu wa bunge ambao ungeweza kuwa mrefu na wenye madhara zaidi kwa chama cha ANC.
Kiongozi wa ANC, Cyril Ramaphosa anaongoza shinikizo za kumuondoa Zuma katika nafasi yake hiyo ya Urais, na hatimaye kushika pia nafasi hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK