Jacob Zuma Amepewa Saa 48 Awe Amejiuzulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jacob Zuma Amepewa Saa 48 Awe Amejiuzulu
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amepewa saa 48 awe amejiuzulu, katika nafasi hiyo.

Hatua hiyo inakuja baada ya mazungumzo yaliyofanywa na chama tawala cha nchini, ANC kwa muda.

Taarifa zinaeleza kuwa ANC walituma watu wawili nyumbani kwa Rais Zuma, Pretoria kumfikishia ujumbe wa chama kwamba anatakiwa ajiuzulu mwenyewe au chama kimng’oe madarakani.

Hatua hii ya ANC inaonekana ndio njia rahisi zaidi ya chama hicho kumng’oa Rais Zuma madarakani badala ya kusubiri utaratibu wa bunge ambao ungeweza kuwa mrefu na wenye madhara zaidi kwa chama cha ANC.

Kiongozi wa ANC, Cyril Ramaphosa anaongoza shinikizo za kumuondoa Zuma katika nafasi yake hiyo ya Urais, na hatimaye kushika pia nafasi hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad