Je, Morgan Tsvangiria Alipewa Sumu ya Kummaliza Taratibu?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mengi yanaweza kuelewa, lakini kikubwa ni kwamba mpinzani wa kweli nna mwanafunzi kindakindaki wa Zimbabwe, Morgan Tsvangiria amefariki dunia.

Lakini kuna tetesi kitoka kwa watu wake wa karibu kuwa kiongozi huyo alipewa sumu ya kummaliza taratibu.

Waliofanya unyama huo ni "viroboto" wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Dk. Robert Mugabe ili kuepusha usumbufu.

Mmoja wa wadogo wa Tsvangiria alisema tuhuma hizo mwaka jana, lakini alidakwa na vyombo vya usalama na akakaa kimya. Juzi kakinukisha tena
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad