AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia instagram akaunti ya Jux ameonyesha kufurahishwa na mashabiki walijitokeza kum-support kwa kuhudhuria show ambayo aliifanya nchini humo na wakati akiwa kwenye stage waliimba pia wimbo wa Taifa wa nchi hiyo.
“Asanteni sana burundi sitaweza kuja kusahau upendo wenu kwenye Maisha yangu japo Mvua kubwa kunyesha bado mkakubali mnyeshewe nakuja kwa wingi sana kwenye show.”
“We made a history nashukuru kwa heshima yenu ya kuniimbia wimbo wa taifa 🙌🏾🙌🏾 kama heshima yenu kwangu na hii haijawahi kutokea kwa Msanii yoyote yani yote aliyeshawahi kuja burundi Asanteni sana sana #love #burundi #history#music #power #africanboyworldwide”
Ukiacha nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Burundi ndio taifa lingine la jirani na Tanzania linalocheza nyimbo za Bongofleva Redioni na kwenye Tv
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK