AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tarifa hiyo imekuja baada ya mchezaji huyo jana (Jumapili) kushindwa kumaliza mchezo dhidi ya Ruvu Shooting kutokana na kupata majeruhi kwenye shingo yake kwa kuchezewa ndivyo sivyo na mchezaji Mau Bodi.
Mbali na hilo, Emmanuel Okwi mpaka sasa ndio anayeongoza kwa ufungaji wa magoli kwa kupata 12 akifuatiwa na John Boco kwa mabao 9, nafasi ya tatu kushikwa na Habibu Kiyombo kutokea Mbao FC kwa magoli 8 huku wapinzani wao wajadi wakiwa nafasi ya tano kwa kuwakilishwa na Obrey Chirwa kwa magoli 7 pekee katika msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2018.
Kwa upande mwingine, timu ya Simba SC inatarajia kukichapa na Azam FC siku ya Jumatano (Februari 7, 2018) katika dimba la Taifa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK