AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhe Nyalandu amesema kuwa akaunti hiyo ya Facebook ambayo inatumia jina lake, sio yake hivyo watu wote waliojaza fomu na kumpatia namba mtu huyo wasiendelee kufanya hivyo kwani ni tapeli wa mitandaoni.
“Fake News alert❗Habari hii ya kupeleka watu Israel sio ya kweli na Account iliyotumika kuandika sio yangu. Tafadhali ipuuzeni. So many sad people out there wanaokaa kutungia wenzao UONGO. Sad!,”ameandika kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kuutarifu umma na kuweka tangazo hilo.
Tayari zaidi ya watu 400 wameshaomba kwenda kuzuru nchini Israeli baada ya tangazo hilo kuwekwa na mtu huyo anayejiita Lazaro Nyalandu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK