Matokeo ya Awali ya Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Siha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Siha  yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yakionyesha mgombea wa CCM, Dk Godwin Mollel akiongoza kwa mbali katika baadhi ya vituo.

Katika matokeo hayo, Dk Mollel  anafuatiwa kwa mbali  na mgombea wa Chadema,  Alvis Mossi   huku wa CUF,  Tumsifuel Mwanri  akishika nafasi ya tatu lakini kwa tofauti kubwa ya kura.

Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo. 

Kituo cha Kirua–Kawate  Kata ya Siha, Wilaya ya Siha 

Mgombea wa CCM  alipata kura  208,
Alvis wa Chadema akipata kura 42
Mwanri  wa CUF akipata kura  10


Katika kituo cha  Lawate namba 2 Kata ya Siha

CCM ilipata kura 300 
Chadema 21
CUF  0.


Kituo cha Lomakaa, 

CCM ilipata kura 190,
Chadema 10 
CUF 0


Pia kituo cha Ofisi ya Kijiji Sanya Juu

CCM ilipata kura 284
Chadema 54 
CUF 1.


Kwa upande wa kituo cha Sanya Juu

CCM ilipata kura 93
Chadema 50
CUF 0


huku kituo cha Kaboko Kusini 2

CCM 403
Chadema 68
CUF  0
Sau 0


Pia Kituo kingine cha Kaboko B;

CCM 106,
CUF 76,
Sau 0

kituo cha Ofisi ya VEO Merali Juu1;

Chadema 33,
CCM 64
CUF 0
Sau 0


Ofisi ya VEO Merali Juu2: 

Chadema 22
CCM 87


Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo.  

Kituo cha Pyarita kata ya Nasai 
Mgombea wa CCM alipata kura 194
Alvis wa Chadema akipata kura 44
Mwanri akipata Cuf akipata kura 5.




Endelea kufuatilia matokeo zaidi hapa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad