AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ben Pol amethibitisha taarifa hizo kwenye mahojiano yake na Bongo5 ambapo amesema ni kweli amepata dili hilo na tayari ameshasaini mkataba lakini maelezo mengine atayatoa baadae baada ya kumaliza baadhi ya vitu na kampuni hiyo.
“Ni kweli nimepata dili nzuri yenye mkataba kabisa na Green Telecom lakini kwa sasa bado kuna vitu vinamalizika halafu tutatoa taarifa kamili na wenyewe ila ni dili kubwa,“amesema Ben Pol.
Huu ni muendelezo wa mafanikio kwa Ben Pol kwani mwishoni mwa mwaka jana alipata dili kadhaa ikiwemo ya ubalozi wa MAÃœA association.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK