AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nikki ameeleza hayo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii baada ya kuwepo rundo la kesi za ndoa zinaanikwa kwenye mitandao ya kijamii huku wengine mtaani kwa lengo la kupata msaada juu ya tatizo hilo huku wengine wakitumia kama fimbo kuwadhalilisha wenza wao.
"Vyombo hata vikiwa vichafu namna gani huwezi kwenda vioshea jalalani, utavioshea kwenye karo tena karo safi. Basi ndoa hata kama imechafuka kiasi gani, jaribu kuisafishia chumbani sio kwa majirani au kitaani",amesema Nikki.
Nikki wa Pili ametoa ushauri huo kwa jamii ikiwa zimebakia takribani siku tano kuadhimisha siku maalumu ya wapenda nao kama wengine wanavyopenda kuita 'Valentine Day' ambapo siku hiyo inapambwa na upendo na faraja japo kuwa jamii inaimizwa kuwa na upendo kwa wenza wao siku zote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK