Nililazimisha Mapenzi kwa Mwanaume Anbaye Hakuwa na Muda Nami- Fedha Kessy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nililazimisha Mapenzi kwa Mwanaume Anbaye Hakuwa na Muda Nami- Fedha Kessy
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Feza Kessy amefunguka sababu ya kuandika ngoma yake iitwayo Kaa Kijanja ambayo amemshirikisha Nikki wa Pili.

Muimbaji huyo ambaye ni mtangazaji pia wa Choice Fm, amesema katika maisha yake ilitokea akampenda mtu ambaye hakuwa na muda naye.

“Napenda kulazimisha vitu vitokee lakini kwenye mapenzi hapana, kwa  sababu kuna mtu nilikuwa nalazimisha mapenzi lakini hakuwa upande wangu,” amesema Faza.

Ameongeza kuwa kitu hicho kilimkatisha tamaa kwani licha ya hivyo aliyempenda alikuwa akimsaliti katika mapenzi, hivyo akaamua kuondoka katika mahusiano hayo.

Fezza Kessy kwa sasa anatamba na ngoma inayokwenda kwa jina la Simple ambayo amemshirikisha Dammy Krane, mdundo ukiwa ni wa producer S2kizzy.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad