AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ambaye wamekutana na Uhuru Kenyatta na kufanya mazungumzo hayo katika Hoteli ya Munyonyo jijini Kampala, amesema wao marais hawana tatizo kwani vitu vidogo vidogo kama biashara ya viatu, nguo, ngano, gesi mawaziri wa nchi mbili wakae wayamalize.
“Kuna mambo madogo madogo yanakuwa yanajitokeza katika biashara kati ya Kenya na Tanzania, tunataka mawaziri wote wa upande wa Kenya na Tanzania mkae muyasolve myamalize, sisi huku juu hatuna tatizo,“amesema Rais Magufuli.
Rais Magufuli yupo nchini Uganda katika Kikao cha 19 cha Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kilichoanza jana Alhamisi jijini Kampala.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK