AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Global Entertainment, alisema kuwa Crew hiyo imekuwa ikilipwa vizuri mishahara huku ikiwataka wasanii wake kuingiza kiasi flani cha fedha wanazopata katika shoo zao kwenye mfuko wa kampuni tofauti na bosi wao Diamond ambaye hakatwi hata senti ya shoo.
“Kutokana na maisha mazuri ya WCB, ndiyo maana utaona siku hizi anaweza kuibuka msanii wake yoyote na kutoa ushuhuda juu ya kiasi cha fedha ya maisha anayoipata jambo ambalo baadhi yao wanaona kama majigambo lakini uhalisia unabaki kuwa kweli maisha ndani ya WCB siyo mambaya.
“Suala la Harmonize kusikika akisema ana fedha huo ulikuwa kama ushuhuda wake kwani kila mtu ananjia yake ya kushuhudia jambo ambalo anatendewa au alilokuwa akitendewa katika maisha yake ya nyuma au anayoendelea kuyaishi kwa sasa,” alisema Rayvan.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK