AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Marathon’ aliyomshirikisha Bill Nass amesema kufanya kazi na Fid Q ni kitu ambacho hakishindikani.
“Ni kitu ambacho kinawezekana, siwezi nikazungumza sana kwenye hilo lakini he is my brother ni mtu ambaye anani-inspire sana kwenye movement zake na michano yake, hata kuniita jukwaani vile kuna vitu vingi niliweza kujifunza, kwa hiyo tegemeeni vitu vikubwa,” Rosa Ree
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK