Rosa Ree Afunguka Kuhusu Colabo Yake na Fid Q

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rosa Ree Afunguka Kuhusu Colabo Yake na Fid Q
Msanii wa muziki Bongo, Rosa Ree amefunguka iwapo kuna mipango ya kufanya kazi na Fid Q.

Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Marathon’ aliyomshirikisha Bill Nass amesema kufanya kazi na Fid Q ni kitu ambacho hakishindikani.

“Ni kitu ambacho kinawezekana, siwezi nikazungumza sana kwenye hilo lakini he is my brother ni mtu ambaye anani-inspire sana kwenye movement zake na michano yake, hata kuniita jukwaani vile kuna vitu vingi niliweza kujifunza, kwa hiyo tegemeeni vitu vikubwa,” Rosa Ree
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad