AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rosa Ree amesema taarifa hizo hazina ukweli wowote kwani yeye na Young Dee walikuwa pamoja kwa ajili ya kazi tu.
“Mimi na Young Dee tulienda kufanya tour pamoja, tulienda kufanya kazi. Katika industry yetu, society yetu ni kama ukimuona mtu ana come together na mtu mwingine unachukulia wanatoka pamoja, hapana haiko hivyo,” Rosa Ree ameiambia Bongo5.
“Labda inaweza ikawa hivyo kwa watu wengine haikuwa hivyo iliishia kwenye kazi, mimi na Young Dee hatuna mahusiano wa kimapenzi,” amesema.
Rosa Ree kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Marathon’ aliyomshirikisha Bill Nass mara baada ya kutamba na ngoma ‘Dow’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sasa unampenda nani au bado hujaridhika na raha za dunia
ReplyDelete