Shilole Atumbukiwa Nyongo na Gauni Alilonunua Mtandaoni ....Ataka Kulichoma Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole Atumbukiwa Nyongo na Gauni Alilonunua Mtandaoni ....Ataka Kulichoma Moto
Mwanamuziki wa wa miondoko ya Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema gauni alilovaa kwenye uzinduzi wa kumtambulisha mwanamuziki Maromboso ‘Mbosso’ uliofanyika katika Ukumbi wa Hyatt hivi karibuni, limemtia aibu kiasi cha kutaka kulichoma moto.

Akizungumza na Star Mix, Shilole alisema kuwa, aliagiza gauni lile mtandaoni lakini hakujua kuwa lingemtia aibu vile kwa maana lilimkosesha kabisa raha kwenye sherehe hiyo na kujutia hela ambayo aliitoa.

“Jamani katika kitu ambacho kimenitia aibu kwenye gauni nililovaa siku ile sitosahau yaani mpaka sasa nataka nilichome moto kabisa nisiwe naliona,” alisema Shilole.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad