AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ilianzia Dodoma pale ambapo alipatika mtoto aliyejulikana kwa jina la Ajib wa Dodoma kuandika tshirt yake kwa peni jina la Ajib na namba lakini wakati huu ni wakati wa Okwi wa Bukoba ambaye leo amekabidhiwa jezi za shujaa wake Emmanuel Okwi.
Leo mtoto Shabani Okwi ambaye ni shabiki wa mchezaji wa Simba Emmanuel Okwi ambaye picha zake zilisambaa akihojiwa na Azam TV akiwa ameandika jina la Okwi kwenye nguo yake, amekabidhiwa jezi ya shujaa wake Okwi na kiongozi wa Makundi ya Simba mtandaoni Jose Munyama.
Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK