Simba Yatimbiza Ndoto za Mtoto Kipenzi cha Okwi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba Yatimbiza Ndoto za Mtoto Kipenzi cha Okwi
Soka la Tanzania linazidi kukuwa na kujenga mapenzi kwa watu mbalimbali wazidi kuupenda mchezo huo hususani watoto, tumeona kwa sasa haishangazi kuona watoto wamechora t-shirt zao majina ya wachezaji bongo wanaowapenda tofauti na zamani walikuwa wakiandika majina ya wachezaji wa nje.

Ilianzia Dodoma pale ambapo alipatika mtoto aliyejulikana kwa jina la Ajib wa Dodoma kuandika tshirt yake kwa peni jina la Ajib na namba lakini wakati huu ni wakati wa Okwi wa Bukoba ambaye leo amekabidhiwa jezi za shujaa wake Emmanuel Okwi.

Leo mtoto Shabani Okwi ambaye ni shabiki wa mchezaji wa Simba Emmanuel Okwi ambaye picha zake zilisambaa akihojiwa na Azam TV akiwa ameandika jina la Okwi kwenye nguo yake, amekabidhiwa jezi ya shujaa wake Okwi na  kiongozi wa Makundi ya Simba mtandaoni Jose Munyama.

Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad