AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia fan page ya Zarithe_ ambayo ni account ya instagram inayoendeshwa na shabiki ilipost picha ya Zari akiwa na wifi yake Esma na kuandika ” #tbt @zarithebosslady akiwa na mnafki 😂😂😂 akili zangu ndo zilivyoamka Leo”
Baada ya fan page hiyo kupost picha na kuandika caption Esma ambaye ni dada yake na Diamond Platnumz alioneshwa kukasirishwa na kujibu kwa ku-comment baada ya kupostiwa na kuitwa mnafiki.
“huwa naskia burudani sana mnaponiweka katika pages zenu tena mnafki mbwa kabisa tena mbwa koko”
Story zinazoenea chini kwa chini zinaeleza kuwa Zari na familia ya Diamond akiwemo Esma hawapo sawa toka Esma aonekane akiwa karibu na Wema Sepetu ambaye ni mpenzi wa zamani wa Diamond, hiyo pia ndio inadaiwa kuwa ni sababu ya Zari kutokumpost Esma wakati wa birthday yake na kumtakia kheri ya kumbukumbu ya kuzaliwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK