Tetemeko la Ardhi Laangusha Maghorofa na Kuua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tetemeko la Ardhi Laangusha Maghorofa na Kuua
Taarifa katika vyombo vya habari vya kimataifa leo February 7, 2018 ni kuhusiana na tukio lililotokea katika mji wa Hualien nchi Taiwan ambapo majengo marefu yameporomoka na kusababisha vifo vya watu wawili na wengine zaidi ya 200 wakijeruhiwa huku 150 wakiwa wamepotea.

Majengo hayo yameporomoka baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi katika mji huo lenye kipimo cha 6.4 lililoupiga mji huo wa kitalii usiku wa kuamkia Jumatano ya leo.

Inaelezwa kuwa watu wengi waliokuwa ndani ya majengo hayo bado wamenasa humo na juhudi za kuwanasua zinaendelea. Mji huo unakadiriwa kuwa na wakazi takribani 100,000.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad