TRA Yafunguka Kuhusu Kugawa Magari ya Kanisa, Msikiti na NGO's

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TRA Yafunguka Kuhusu Kugawa Magari ya Kanisa, Msikiti na NGO's
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekanusha taarifa iliyokuwa inasambaa katika mitandao ya kijamii kuwa inagawa magari kwa taasisi zinazotoa huduma za kijamii kama Kanisa, Msikiti, NGO na vituo vya watoto yatima pamoja na kutuzia wazee.


Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo na kuwataka wanaanchi kuipuuza pindi waipatapo au kuiona katika mitandao hiyo.

Kwa habari kamili soma hapa chini..

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad