Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn, Ajiuzulu Wadhifa Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn, Ajiuzulu Wadhifa Wake
WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn, amejiuzulu wadhifa huo baada kuandika barua kwa chama chake cha Ethiopia People’s Democratic Front akiomba kung’atuka, licha ya chama hicho kutobainisha iwapo kimekubali uamuzi wake au la.


Desalegn amesema kuwa amejiuzulu ili kusaidia kusuluhisha mzozo wa kisiasa uliopo nchini humo. Wananchi, wakereketwa wa Ethiopia People’s Revolutionary Democratic Front na serikali inataka kupata ufanisi wa mabadiliko yaliyowekwa wakati  wa mgogoro wa kisiasa nchini humo. Wengi wamepoteza maisha, wengine makazi huku mali zao zikiharibiwa.

“Ili kupata suluhu na ufanisi wa mabadiliko yaliyowekwa, na suluhu tuliyoweka,  nimewasilisha barua ya kujizulu majukumu yangu katika serikali na katika chama kwa hiari yangu,” alisema katika runinga ya taifa ya EBCTV.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad