AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Mwananchi umesema, makosa hayo ambayo Nondo ameshtakiwa ni pamoja na kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni March 7 ya mwaka huu kuwa yupo maisha yake yapo hatarini akiwa katika eneo la Ubungo na kuzisambaza kwenye mtandao wa Whatsapp.
Kosa la pili limetajwa kuwa ni kutoa taarifa za uongo kwa mtumishi wa umma Mafinga wakati alipokuwa akitoa taarifa katika kituo cha polisi mjini humo kwa kusema kuwa alitekwa na watu wasiojulikana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK