AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Papa Francis ameutaja unyanyasaji wa wanawake kwa ajili ya ukahaba kuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu
Papa aliiomba msamaha jamii kwa niaba ya wanaume waumini wa kanisa Katoliki wanaokwenda kupata huduma kwa makahaba
Papa Francis alitoa kauli yake hiyo ya dhati kabisa katika kikao cha maswali na majibu na vijana kutoka mataifa mbalimbali ya dunia waliokwenda mjini Roma
Papa alisema, "Ni uhalifu dhidi ya ubinadamu. Na unatokana na fikra mbovu kwamba wanawake lazima wadhalilishwe"
Papa Francis alisema nchini Italia kuna uwezekano asilimia takriban 90 ya wateja wanaume wanaokwenda kwa makahaba ni waumini wa kanisa Katoliki waliobatizwa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK