Baada ya Ua Jeusi la Zari, Wema Sepetu Penzi Lake Lachanua Upya Amtumia Ua Jekundu Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Ua Jeusi la Zari, Wema Sepetu Penzi Lake Lachanua Upya Amtumia Ua Jekundu Diamond
Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichika. Malkia wa filamu nchini Tanzania Wema Sepetu Jumatatu hii amepost picha ya ua la rose “Red Rose’ ambalo linadaiwa kuwa ni ishara ya upendo.



Mwigizaji huyo amekaa kimya kwa muda mrefu bila kuweka wazi mahusiano yake toka aachane na mchekeshaji Idris Sultan kitu ambacho siyo kawaida yake katika maisha yake.

Jumatatu hii amepost ua jekundu ikiwa ni ishara ya upendo huku akiandika ujumbe unaosomeka ‘A Red Rose is a Symbol of Love…’.

Hatua hiyo imechukuliwa tofauti na mashabiki wengi wa mrembo huyo baada ya hivi karibuni kuonekana kuwa karibu zaidi na mpenzi wake wa zamani, Diamond Platnumz.




Mashabiki hao wengi kupitia Instagram muda mchache baada ya mrembo kupost ua, amekuwa wakimtania kwa kusema kwamba huwenda mrembo huyo ameamua kurudia na Diamond ambaye ameachana na mama watoto wake, Zari The Boss Lady.

Maoni na mashabiki hao kupitia instagram.

udankimario

Madame wema nahisi kwa upande wa pili itakua ni Special kwa A boy From Tandale yan Simba😂😂

safiii_denis

Woyoooooooo kwetu raha siye twapost jekundu rose rose rose rose rose una rangi nyingi weweeeeee.

fatmarain39

Unahashuo wewe kwakuwa mwenzio kaweka black rose na wewe unatuekea red rose ovyoo

milly_ivan

Hatupendi black roses tunapenda red roses 😅😅😅 madam @wemasepetu

suleshcleverboytz

Jamanii Jamanii @wemasepetu kwan wamekukosea nini hawa watu @zarithebosslady@hamisamobetto @tundathebossbabemana huku Kunakoenda asaiv Vita Ya tatu Inaenda Kutokea SOOON 😂😂😂
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad