AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa RnB kutoka Tanzania Damian Abelnego a.k.a Belle9, amesema suala la wasanii kufungiwa nyimbo zao na BASATA kwa upande wake haoni kama kuna lingie kubwa zaidi ya kiki tu.
Akizungumza na Dizzim Online Belle9 Amesema mwanzoni alichukulia jambo hilo kuwa kubwa sana lakini kwasasa anaona ni KIKI.
Je unakubaliana na Belle 9 au Unampinga?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK