AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa, Esma alisema hakuona kama kuna tatizo lolote kupigwa busu na Wema kwa sababu ni kitu ambacho wamekizoea siku nyingi tangu walipokuwa mawifi kwa hiyo kwao siyo kitu kigeni ni mambo ya kawaida tu.
“Busu alilonipiga wifi yangu ni la kawaida kabisa hakuna kitu kipya hapo ni upendo tu kwa sababu mimi na yeye tunapendana sana ndiyo maana umetuona hata kwenye busu hilo hatuna shaka na mtu,” alisema Esma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK