AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa chama CHAUMA Hashim Rungwe ambae pia alikuwa miongoni mwa wagombea wa Urais kwa mwaka 2015 ametangaza kutoonekana kwa ndugu yake anaeitwa Saida Hilal na wao hawajui yuko wapi.
“Kuna binti anaitwa Saida Hilal amepotea haonekani tangu alipoaga kuwa anaenda kazini, alichukuliwa na gari ya kazini na baada akaaga anaenda oysterbay polisi, tangu hapo hajaonekana na wala hapatikani kwa simu yake ya mkononi” -Rungwe
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK