Hashimu Rungwe: Watu wasiojulikana waliokuwa wamemteka binti yangu wamemwachia tarehe 28/03/18

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa chama CHAUMA Hashim Rungwe ambae pia alikuwa miongoni mwa wagombea wa Urais kwa mwaka 2015, March 27, 2018 alitangaza kutoonekana kwa ndugu yake anaeitwa Saida Hilal.

Leo March 31, 2018 amewaita waandishi wa habari na kusema tayari amempata Binti yake huyo amabe alikuwa ametekwa na watu wasiojulikana.

“Napenda kuwajulisha kwamba siku ya tarehe 28 jioni kuamkia 29, binti huyu Saida Hilal alionekana na waliomteka walimuacha Sinza, walikuwa wamemfunga kitambaa, nilipopata hizi habari nilimfuatilia”

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad