Hii Ndiyo Hukumu Aliyopewa Binti ‘Aliyewachapa’ makofi wanajeshi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katikati ya mwezi December 2017 hadi mwishoni kabisa ya mwaka, binti wa Kipalestina Ahed Tamimi, 17, alikuwa gumzo mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa baada ya kusambaza video iliyomwonesha akiwapiga makofi wanajeshi wawili.

Sasa jana March 21, 2018 imetolewa hukumu juu ya binti huyo, ambapo amehukumiwa kifungo cha miezi nane jela kutokana na kosa hilo la kuwapiga wanajeshi.

Katika video hiyo Ahed alionekana akiwapiga askari hao ambao walikuwa wamekwenda kwenye eneo la makazi yao, ambapo binti huyo kwa ujasiri alionekana kuwapiga makofi huku akiwaambia waondoke kwenye eneo hilo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad