Historia imeandikwa Mtwara na Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa mara ya kwanza katika historia, Yanga imefanikiwa kupata ushindi kwenye ardhi ya Mtwara ikicheza dhidi ya Ndanda FC baada ya kuifunga 2-1 kwenye mchezo wa VPL uliochezwa uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Kabla ya mchezo wa leo (Februari 28, 2018) timu hizo zilikuwa zinecheza mechi tatu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Yanga haikuwahi kupata ushindi.

Ushindi huo wa Yanga dhidi ya Ndanda ni wa sita mfululizo kwenye ligi tangu iliposhinda 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi sita zilizopita.

Ruvu Shooting 0-1 Yanga
Azam 1-2 Yanga
Lipuli 0-2 Yanga
Yanga 4-0 Njombe Mji
Yanga 4-1 Majimaji
Ndanda 1-2 Yanga
Yanga imefikisha pointi 40 ikiwa nyumba
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad