Jeshi la Polisi Lakanusha Kupatikana kwa Masheikh Watatu Waliotoweka Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi Lakanusha Kupatikana kwa Masheikh Watatu Waliotoweka Zanzibar

Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa halina taarifa za kuonekana kwa mashekhe watatu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar, ambao waliripotiwa kutoonekana tangu Januari 9, mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Hassan Nassir Ali, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema kuwa jeshi hilo lilifanya kazi ya kuwatafuta mashekhe hao, lakini halikufanikiwa kuwaona.

“Zipo taarifa mitaani kuwa mashekhe hao wameonekana sasa nashangaa kwanini waliokuja kuripoti kuwa hawaonekani wameshindwa kuja kutoa taarifa kuwa wameonekana,” amesema Kamanda Ali

Aidha, Kamanda huyo ameiasa jamii kuacha kuchanganya mambo ya kihalifu na kisiasa kwa kuwa halileti taswira nzuri kwa jamii na taifa kwa ujumla.

Hata hivyo, Kamanda Ali ameongeza kuwa awali jeshi hilo lilipokea taarifa rasmi kutoka kwa familia na ndugu wa mashekhe hao, kuwa hawaonekani na wamepotea katika mazingira ya kutatanisha huku likihusishwa jeshi hilo kuwa ndio lililo wachukua
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad