Masikini! Kumbe Mimba ya Shamsa Ford Imechoropoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Masikini! Kumbe  Mimba ya Shamsa Ford Imechoropoka
KUMEKUWA na matukio mbalimbali yanayowakusanya wasanii, lakini tofauti na zamani, Shamsa Ford kwa sasa amekuwa haonekani akijichanganya na wenzake, jambo ambalo limezua minong’ono na kusababisha mwenyewe kuibuka na kudai kuwa jambo hilo lilisababisha mimba yake changa ikachoropoka.

Shamsa aliiambia Za Motomoto News kuwa, awali alikuwa akijichanganya mno kwenye ishu tofauti, lakini kwa sasa anashindwa kutokana na kupigwa marufuku na mumewe, Chid Mapenzi, baada ya kuwa na ujauzito mchanga ambao ulichoropoka kwa sababu ya kuzurura.

“Nilipigwa marufuku kutokatoka licha ya kwamba mwanzoni nilikuwa ninatoka kibishibishi tu, lakini kwa sasa imenibidi nimsikilize mume wangu zaidi maana mimba changa ilitoka kwa sababu ya kutokatoka hovyo kwenda kwenye shughuli,” alisema Shamsa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad