Ndoa ya Usher Raymond na Mkewe Grace Miguel Yavunjika Baada ya Wawili Hao Kuachana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ndoa ya Usher Raymond na Mkewe Grace Miguel Yavunjika Baada ya Wawili Hao Kuachana
Mwaka 2018 umeonekana kuwa ni mbaya kwa wapendanao. Usher Raymond na mkewe Grace Miguel wametangaza kuachana baada ya kupita miaka miwili ya ndoa yao na kudumu kwenye mahusiano kwa miaka 10.

Kwa mujibu wa mtandao wa Us Weekly umetoa taarifa ya wawili hao ya kuachana inayosomeka, “Baada ya kufikiria sana na kuzingatia tumeamua kujitenga kama wanandoa.”

“Tunaendelea kushirikiana kwa ukaribu zaidi, marafiki wa upendo ambao wataendelea kuunga mkono kwa njia nyingine ya maisha yetu. Kiasi kikubwa cha upendo na heshima tuliyo nayo kwa kila mmoja itaongezeka tu tunapoendelea,” imeongeza taarifa hiyo.

Hata hivyo Chanzo cha karibu cha wawili hao kimeuambia mtandao huo, Usher na Grace wametengana tangu miezi michache iliyopita.

Usher na Grace wamekuwa na mahusiano kwa karibu tangu mwkaa 2009 baada ya msanii huyo kuachana na aliyekuwa mke wake, Tameka Foster ambaye walifanikiwa kupata watoto wawili kwenye ndoa yao iliyodumu kwa miaka miwili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad