AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kingu amesema kuwa, matukio ya kihalifu yapo kila utawala na hakuna Taifa linaloweza kwenda bila ya kuwa na uhalifu.
Kauli yake inakuja wakati Taifa bado liko kwenye sintofahamu kuhusu kutekwa nyara kwa msanii Roma Mkatoliki na wenzake watatu, kupigwa risasi kwa Mbunge Tundu Lissu, Azory Gwanda, Ben Saanane, Salma Said na mauaji Alphonce Mawazo, Daniel John na Godfrey Lwena na mauaji ya wananchi wilayani Kibiti, Rufiji, Mkuranga- Pwani.
Kauli ya Kingu imekuja kama majibu kwa Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe aliyewasilisha kwa Katibu wa Bunge barua ya kusudio la kuwasilisha Hoja Binafsi ya kuunda Kamati Teule ya Bunge kuchunguza matukio mbalimbali yanayoonesha kutishia umoja, usalama na mshikamano wa Taifa letu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK