Madee : Sifungi Ndoa kwa Kufuata Mkumbo Kisa Staa Fulani Ameoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Madee : Sifungi Ndoa kwa Kufuata Mkumbo Kisa Staa Fulani Ameoa
MEMBA wa Kundi la Tip Top Connection ambaye pia ni Mkurugenzi wa Lebo ya Manzese Music Baby ‘MMB’, Hamad Ally ‘Madee’ amefungukia ndoa yake kuwa hawezi kufunga kwa kufuata mkumbo kisa staa fulani amefunga ila atakachofanya ni kufanya sapraiz siku yoyote kuanzia sasa na kufunga bila kutangaza.

Madee anayebamba na Ngoma ya Sema alisema, kwa sasa bado anaangalia lebo yake hiyo iweze kutanuka zaidi na tayari amefanikiwa kwa msanii Gaza na Dogo Janja ambao ‘wameshasimama’.

“Ujue suala la ndoa si la kukurupuka tu unaenda kufunga. Ndoa ni kitu binafsi kabisa na ni maamuzi ambayo yanachukulia kwa mara moja huwezi kuwa na uamuzi tena kwa hiyo mimi kama mimi kufunga ndoa ni mipango na familia yangu ambayo siwezi kuiweka wazi lakini muda wowote kuanzia sasa naweza kufunga,” alisema Madee.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad