AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madee anayebamba na Ngoma ya Sema alisema, kwa sasa bado anaangalia lebo yake hiyo iweze kutanuka zaidi na tayari amefanikiwa kwa msanii Gaza na Dogo Janja ambao ‘wameshasimama’.
“Ujue suala la ndoa si la kukurupuka tu unaenda kufunga. Ndoa ni kitu binafsi kabisa na ni maamuzi ambayo yanachukulia kwa mara moja huwezi kuwa na uamuzi tena kwa hiyo mimi kama mimi kufunga ndoa ni mipango na familia yangu ambayo siwezi kuiweka wazi lakini muda wowote kuanzia sasa naweza kufunga,” alisema Madee.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK