AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeelezwa kuwa, Heche na Mnyika hawakuripoti polisi Machi 16, 2018 ambapo Chadema wamesema sababu ya wabunge hao kutoripoti ni kutokana na kuhudhuria vikao vya kamati za Bunge mjini Dodoma.
Aidha, viongozi wengine wa chama hicho waliotakiwa kuripoti polisi leo Machi 22, ni Mbunge wa Kawe, Halima Mdee ambaye yupo nje ya nchi kwa matibabu na Ester Matiko ambaye yuko Dodoma kwa shughuli za kibunge.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK