AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utafiti wangu wanawake hawa wavaa mawigi wanadai kuwa yametengenezwa kwa katani, Kitu ambacho sio kweli.
Ukweli ni kwamba mawigi ni nywele halisi za binadamu kwa sababu nywele huundwa na protein inayoitwa fibrous protein, Ukichoma nywele yako huwa inatoa harufu fulani ambayo ni unique hivyo basi hata haya mawigi ni nywele za wazungu walizonyoa ndo mnavaa eti mmependeza.
Mwanamke unayevaa mawigi anaweza kuwa kuwa na sifa kuu moja tu nayo ni mchafu wanawake acheni kuvaa mawigi mnavaa manuksi ya mizungu iliyokufa.
Mwanaume usiruhusu mwanamke akaingia na wigi ndani mwako asije akakuletea mapepo jikubali jinsi ulivyo wewe unaevaa Mawigi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK