Mwanamke Jikubali Unavaa Nywele za Bandia ili iweje?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Natumaini mko na afya njema katika jamii ya kitanzania wanawake wengi wanavaa nywele za bandia a.k.a mawigi.

Utafiti wangu wanawake hawa wavaa mawigi wanadai kuwa yametengenezwa kwa katani, Kitu ambacho sio kweli.

Ukweli ni kwamba mawigi ni nywele halisi za binadamu kwa sababu nywele huundwa na protein inayoitwa fibrous protein, Ukichoma nywele yako huwa inatoa harufu fulani ambayo ni unique hivyo basi hata haya mawigi ni nywele za wazungu walizonyoa ndo mnavaa eti mmependeza.

Mwanamke unayevaa mawigi anaweza kuwa kuwa na sifa kuu moja tu nayo ni mchafu wanawake acheni kuvaa mawigi mnavaa manuksi ya mizungu iliyokufa.

Mwanaume usiruhusu mwanamke akaingia na wigi ndani mwako asije akakuletea mapepo jikubali jinsi ulivyo wewe unaevaa Mawigi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad