AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigulu Nchemba alisema hayo Machi 11, 2018 akiwa mkoani Singida na kusema kuwa wapinzania wamekosa ajenda ndiyo maana wamekuwa wakihangaika kutafuta njama za kuchafua taswira ya nchi ya Tanzania.
"Mhe Rais ndiyo maana unaona vinyago vingi vingi hivi kama hivi juzi anatokea kijana mdogo eti anasema ametekwa, eti ametekwa akapata na muda wa kutafuta perfume na nguo za kubadilishia kule atakakokuwa ametekwa, unaotoa wapi muda wa kujiandaa ni vitu vya kiajabu ajabu kama hivyo watu wanatafuta namna za kuchafua taswira za nchi yetu na jambo hili si jambo ambalo tutacheza nalo" alisisitiza Mwigulu Nchemba
Mnamo Machi 6, 2018 mwanafunzi huyo aliripotiwa kutoweka katika mazingira tatanishi na siku iliyofuata yaani Machi 7, 2018 majira ya jioni ilisemekana kijana huyo alijikuta Mafinga ambapo alikwenda kuripoti kituo cha polisi, kisha baada ya hapo alisafirisha kutoka Iringa na kuletwa jijini Dar es Salaam kisha kukabidhiwa kwa Mkuu wa Upelelezi jijini Dar es Salaam (DCI) ambapo mpaka sasa upelelezi wa tukio lake unaendelea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK