AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Risasi Jumamosi juzi, Wastara alisema kuwa baada ya kutua nchini akiendelea na matibabu alipata mwaliko wa kwenda Sweden kwa ajili ya kuwawakilisha wanawake walemavu baada ya kuchaguliwa na Jumuiya ya Wanawake Afrika yenye makao yake makuu nchini Swenden akiwa kama balozi wa wanawake kutoka Tanzania.
“Nimelazimika kwenda kwa sababu hakuna mwanamke mwenye historia kama ya kwangu na wamenihakikishia kuwa nitakuwa salama kuanzia kwenye safari mpaka huko kwani bado nipo kwenye matibabu,” alisema Wastara
Mbali na safari hiyo, Wastara pia amezindua wimbo wa kuwashukuru Watanzania wote waliomchangia pesa za matibabu ambao umeimbwa na msanii ‘anayemmeneji’ aitwaye Kea.
“Nimeamua kuwashukuru Watanzania kwa kutumia mashairi ikiwa ni pamoja na kuwaburudisha lakini kubwa ni kuwashukuru kwani leo hii nilivyo ni kwa sababu ya wao, bila kumsahau Rais Magufuli,” alisema Wastara. Wastara alikwea pipa juzi kuelekea Sweden ambapo atakaa kwa siku chache.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK