Maneno ya Mstaafu Kikwete kwa IGP Sirro ‘Watanzania Ninaowapenda’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maneno ya Mstaafu Kikwete kwa IGP Sirro ‘Watanzania ninaowapenda’Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kwa kuwakamata watu waliokuwa wanatumia vibaya jina lake kwa kufanya utapeli mtandaoni na kuwaibia watu fedha.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Dr. Jakaya Kikwete ameandika >>>Natoa pongezi nyingi kwa IGP Simon Sirro na @tanpol kwa kuwakamata watu waliokuwa wanatumia vibaya jina langu, la mke wangu Salma na mwanetu Ridhiwani kuwahadaa na kuwaibia Watanzania ninaowapenda sana. Kubainika kwa mtandao huo na kukamatwa ni hatua nzuri ya kupongezwa.

Jakaya Kikwete

@jmkikwete
Natoa pongezi nyingi kwa IGP Simon Sirro na @tanpol kwa kuwakamata watu waliokuwa wanatumia vibaya jina langu, la mke wangu Salma na mwanetu Ridhiwani kuwahadaa na kuwaibia Watanzania ninaowapenda sana. Kubainika kwa mtandao huo na kukamatwa ni hatua nzuri ya kupongezwa.

5:11 PM - Mar 16, 2018
1,348
353 people are talking about this
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad