P Funk Amefunguka Kuhusu Beef ya Mr. T Touch, S2kizzy na Luffa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

P Funk Amefunguka Kuhusu Beef ya Mr. T Touch, S2kizzy na Luffa
Produ
cer mkongwe Bongo, P Funk Majani amefunguka kuhusu kuwepo kwa beef miongoni mwa ma-producer wapya wa sasa.

P Funk ameiambia XXL ya Clouds Fm kuwa wao kama ma-producer wanaheshimiana na suala la malumbano mara nyingi ni kwa wasanii na si kwao kwani kwa upande wa production wapo wachache.

“Labda hao wadogo ambao juzi kati nimeona wanalumbana, sijui S2kizzy, T Touch na Luffa, sijui wanasema muziki wa T Touch wa kizamani, hitu kama hivyo tunacheza taarab sasa,” amesema.

“Kwa sababu kinachoonekana ni kazi, kama muziki umekubali basi ni mzuri uwe wa kizamani au wa kisasa,” amesisitiza.

Mr. T Touch, S2kizzy na Luffa ni ma-producer ambao kwa sasa kila mmoja anafanya vizuri hapa Bongo, wote kwa sasa ngoma walizofanya vinafanya vizuri katika radio station mbali mbali.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad