PICHA: Mwalimu Anaeandika Ubaoni Kwa Kutumia Mdomo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo March 14, 2018 stori ninayokusogezea ni kuhusu picha ya Mwalimu mmoja wa somo la Hesabu katika shule ya R/C Addo-Agyiri ambayo imechukua headlines katika mitandao ya kijamii nchini Ghana baada ya kuonekana akiandika ubaoni kwa kutumia meno kwani ni mlemavu wa mikono.

Picha hiyo ilimwonyesha mwalimu huyo aliefahamika kwa jina la Madam Enyonam akiwafundisha  wanafunzi wake somo la Hisabati bila hata kuwa na wasiwasi wala kuhisi kinyaa kuandika kwa kutumia mdomo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad