AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Tukio la unyanganyi kwa kutumia nondo lililofanyika kwa mhasibu wa ubalozi wa Syria, akiwa anatoka kwenye ubalozi huo akiwa na dereva ambae tunamtafuta, dereva huyo aliacha kupita njia ya kuelekea mjini huku akiendesha gari polepole sana,” -RPC KINONDONI
“Mhasibu alivamiwa na watu watatu ambao wanatuhumiwa kuwa ni majambazi, walimjeruhi kwa kipande cha nondo kichwani, wahalifu wakaondoka na dereva pamoja na gari ya ubalozi,” -RPC KINONDONI
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK