Rayvanny aeleza ‘ubabe’ wa Diamond ndani ya WCB

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii @Rayvanny kutoka @wcb_wasafi amesema katika utendaji kazi wake na @diamondplatnumz ndani ya label hiyo hawajawahi kufikia hatua ya kupishana kauli katika kazi.

MuimbajMakulusai huyo anayetamba na ngoma ‘#’ ameiambia Funiko Base ya Radio Five mara nyingi mambo yanayotokea ni ya kawaida ingawa kuna mengine huonyesha kutopendezwa nayo.

“Nikikosea lazima anikoromee lakini kunikoromea hajawahi kwa sababu yeye siyo mtu wa kufokafoka lakini kitu akikukataza unajua hiki kitu hajakipenda, kwa hiyo unajua wewe hapo inabidi ujiongeze,” amesema @Rayvanny.

Rayvanny na Diamond wameshafanya ngoma pamoja inayokwenda kwa jina la #Salome, pia wamekutana katika ngoma ‘#Zilipendwa’ ambayo iliwakutanisha wasanii wote walio chini ya WCB.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad