AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inadaiwa watu kadhaa wamejeruhiwa kutokana na moto huo. Hakuna vifo vilivyoripotiwa ama kuthibitishwa hadi sasa.
Tunaendelea kufuatilia kwa kina, taarifa zaidi tutakuletea baadaye.
Mabweni mawili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia.
Moto huo ulianza majira ya saa 3 usiku, huku wanafunzi wote walikuwa madarasani (preparation) maarufu kama prepo.
Majeruhi takribani 15 wa tukio hilo hiyo walitokana mshtuko wa moyo lakini walikimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga na wanaendelea vizuri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK