Shule ya Wasichana Korogwe Yateketea kwa Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shule ya Wasichana Korogwe Yateketea kwa Moto
Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe  iliyoko wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga, inaungua moto usiku huu, huku chanzo cha ajali ya moto huo kikiwa hakijajulikana.


Inadaiwa watu kadhaa wamejeruhiwa kutokana na moto huo. Hakuna vifo vilivyoripotiwa ama kuthibitishwa hadi sasa.


Tunaendelea kufuatilia kwa kina, taarifa zaidi tutakuletea baadaye.

Mabweni mawili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia.

Moto huo ulianza majira ya saa 3 usiku, huku wanafunzi wote walikuwa madarasani (preparation) maarufu kama prepo.


Majeruhi takribani 15 wa tukio hilo hiyo walitokana mshtuko wa moyo lakini walikimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Magunga na wanaendelea vizuri.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad