Tafiti Zonyesha Kuwa Demokrasia Ipo Matatani Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Utafiti mpya ambao umefanywa siku za hivi karibuni na kampuni ya Kijerumani inayojulikana kama Bertelsmann Foundation, ambao umeangalia mataifa 129 duniani umebaini kuwa demokrasia inazidi kushuka kwenye mataifa mbalimbali duniani.

Inaelezwa kuwa ubora wa demokrasia na mifumo ya uchumi wa masoko katika nchi zinazoendelea unaendelea kushuka kwa kiwango cha chini zaidi katika miaka 12 iliyopita, hii ni kwa mujibu wa utafiti huo ambao wameupa jina Mpango wa Mabadiliko (Transformation Index 2018).

Ripoti hiyo imeangalia katika nchi hizo 129 maeneo kama demokrasia, uchumi, utawala. Watafiti hao wameonya kuwa demokrasia iko “chini ya shinikizo” huku ukandamizaji na unyanyasaji wa kisiasa ukiongezeka.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad