AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka katika hospitali alimofanyika upasuaji huo, zinaeleza kuwa madaktari wamefanikiwa kurekebisha mguu wa Lissu kwa mafanikio makubwa.
Huu ni upasuaji wa 19 kufanyiwa Lissu baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa mjini Dodoma, Septemba, mwaka jana.
Lissu ambaye ni mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), yuko Brussels kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa akiendelea na matibabu, akitokea Nairobi, Kenya alikokaa kwa zaidi ya miezi minne akitibiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK