Upasuaji wa 19 Aliofanyiwa Lissu Wafanikiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Upasuaji wa 19 Aliofanyiwa Lissu Wafanikiwa
Upasuaji mkubwa wa mguu wa Tundu Lissu uliofanyika  Brussels, Ubelgiji, umefanikiwa.

Taarifa kutoka katika hospitali alimofanyika upasuaji huo, zinaeleza kuwa madaktari wamefanikiwa kurekebisha mguu wa Lissu kwa mafanikio makubwa.

Huu ni upasuaji wa 19 kufanyiwa Lissu baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa mjini Dodoma, Septemba, mwaka jana.

Lissu ambaye ni mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), yuko Brussels kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa akiendelea na matibabu, akitokea Nairobi, Kenya alikokaa kwa zaidi ya miezi minne akitibiwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad