VIDEO: Hali ya Taharuki Yatanda kwa Familia Nne Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

VIDEO: Hali ya taharuki yatanda kwa familia nne Dar
Katika hali isiyokuwa ya kawaida leo Mtaa wa Kibasila, Kata ya Upanga Mashariki, jijini Dar es Salaam, kundi la mabaunsa wamevamia nyumba wanayoishi wanawake na kuwafanyia vitendo vya udhalilishaji.

Kamanda wa Polisi Mkoa Maalumu wa Kipolisi, Salumu Hamduni, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa wanamshikilia mtuhumiwa mmoja aliyeshiriki na wanaendelea na mahojiano huku msako kwa wahusika wengine ukiendelea.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad