AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rai
hiyo imetolewa na mkuu wa kitengo cha habari wa klabu hiyo Haji Manara
kwa lengo la kuwakumbusha wachezaji kuwa kila kitu kinawezekana kuelekea
mchezo wao wa marudiano wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya
Al Masry ya Misri.
''Najua mnaweza, mshafanya hivyo mara kadhaa ugenini, hakuna asiyejua mlichofanya kwa Zamalek, Al Ahly, Setif, Al Harach na wengine kadhaa, lindeni heshma ya Simba na Taifa kwa ujumla'', ameandika Manara kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Baada ya kumtafuta Manara amefafanua kuwa ''lengo ni kuwakumbusha tu na kuwapa moyo vijana wetu, muda mwingine wanaweza kuwa wanahisi haiwezekani kumbe ilishafanyika hivyo mara nyingi tu''.
Simba itashuka dimbani Jumamosi hii huko Port Said Misri kuivaa Al Masry ikiwa inahitaji ushindi baada ya timu hizo kutoka sare ya mabao 2-2 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam.
''Najua mnaweza, mshafanya hivyo mara kadhaa ugenini, hakuna asiyejua mlichofanya kwa Zamalek, Al Ahly, Setif, Al Harach na wengine kadhaa, lindeni heshma ya Simba na Taifa kwa ujumla'', ameandika Manara kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Baada ya kumtafuta Manara amefafanua kuwa ''lengo ni kuwakumbusha tu na kuwapa moyo vijana wetu, muda mwingine wanaweza kuwa wanahisi haiwezekani kumbe ilishafanyika hivyo mara nyingi tu''.
Simba itashuka dimbani Jumamosi hii huko Port Said Misri kuivaa Al Masry ikiwa inahitaji ushindi baada ya timu hizo kutoka sare ya mabao 2-2 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK